Showing posts with the label KIMATAIFA

JOE BIDEN ATANGAZA KUTOGOMBEA MUHULA WA PILI URAIS MAREKANI

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kusitisha kampeni za kuwania muhula wa pili wa na kusema amechukua uamuzi huo ''kwa maslahi ya chama chake na nchi.'' Ua…

OBAMA, PELOSI WAMEMSHAURI BIDEN KUACHIA NGAZI DHIDI YA TRUMP

Ikiwa imepita Siku moja tangu Rais Joe Biden atangazwe kupata maambukizi ya COVID-19 na kusitisha kampeni, Vyombo mbalimbali vya Habari vya Kimataifa vimeripoti Rais Mstaafu,…

GUMZO: PICHA ZA KUTISHA KENYA ZA MIILI 8 ILIYOOPOLEWA KATIKA MAJITAKA

Picha kwenye televisheni nchini humo ziliwaonyesha watu wakitumia kamba kuopoa magunia yaliyokuwa na mabaki ya miili ya binadamu kutoka kwenye maji yaliyojaa taka katika jala…

RAIS LIBERIA KUTOA 40% YA MSHAHARA WAKE | SERIKALI INAYOWAJIBIKA DHIDI YA HALI NGUMU YA MAISHA

Rais Joseph Boakai ametangaza atapunguza mshahara wake kwa Asilimia 40 huku Ofisi yake ikieleza ni sehemu ya kuonesha Utawala Unaowajibika Hivi karibuni Wananchi wengi wame…

UN KUFUATILIA SAKATA LA UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU SUDAN

Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kutafuta ukweli umezitaka pande zote mbili nchini Sudan kusitisha mapigano. Na Jacob Safari - DW Mpango huo ulio na wanachama watatu umeanza kaz…

Load More That is All