Innocent Bashungwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
Na mwandishi wetu
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa wa Tanzania INNOCENT BASHUNGWA amesema Serikali itaendelea kuimarisha hali ya Ulinzi na Usalama Mkoani Mtwara ili kuimarisha Uzalishaji Mali kwa Wananchi wanaoishi Mkoani humo.
Waziri Bashungwa ametoa kauli hiyo leo Januari 6, 2023 alipotembelea Mkoani Mtwara.
Kanali Ahmed Abbas, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara
Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali AHMED ABAS ameeleza kuwa licha ya hali ya usalama kuwa shwari bado suala la usalama halitabiriki kutokana na kuwepo kwa uvamizi kwenye mipaka mara kwa mara.
Post a Comment