Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameridhia Miswada mitatu ya Mabadiliko ya sheria na tayari imeanza kutumika rasmi
Akisoma taarifa hiyo #Bungeni, Spika Dkt. Tulia Ackson, amesema Miswada hiyo ni pamoja na Muswada wa Sheria ya Uwekezaji Tanzania ya 2022, Muswada wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya Mwaka 2022 na Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali namba Tatu ya Mwaka 2022
Credit: JamiiForums
betmatik
ReplyDeletekralbet
betpark
tipobet
slot siteleri
kibris bahis siteleri
poker siteleri
bonus veren siteler
mobil ödeme bahis
7Y3Ä°Z
Post a Comment